Kampeni ya Grow inayoendeshwa na shirika la kimataifa la Oxfam kupitia balozi wake Shamim Mwasha (Blogger 8020fashions) inatoa zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5 pamoja na nafasi ya ushiriki katika shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2013 litakalofanyika sambamba na Maisha Plus.
Mpendekeze ashinde sasa kwa kubofya hapa na kujaza nafasi zotesurveymonkey.com/s/growtanzania
Kumbuka; leo ni siku ya mwisho ya kupokea mapendekezo. Usiache nafasi hii ikupite.
Wekeza kwa wakulima wadogo wanawake. Inalipa.
xoxo
Missie Popular
0 comments:
Post a Comment