Zimebaki siku 9 tu za kujaza fomu ya ushiriki.
1. Kijana wa Tanzania, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda mwenye umri wa kati ya miaka 21 - 26, jaza fomu ya kushiriki shindano la Maisha Plus moja kwa moja mtandaoni kwa kubofya hapa
1. Kijana wa Tanzania, Burundi, Rwanda, Kenya, Uganda mwenye umri wa kati ya miaka 21 - 26, jaza fomu ya kushiriki shindano la Maisha Plus moja kwa moja mtandaoni kwa kubofya hapa
--> http://maishaplus.tv/MaishaPlusFomu2014.html
2. Kama wewe ni mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Tanzania ama unamfahamu yeyote, jaza fomu moja kwa moja kwa kubofya hapa -->
http://maishaplus.tv/MamaShujaaFomu2014.html
Tunawatakia kila la Kheri.
2. Kama wewe ni mkulima mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Tanzania ama unamfahamu yeyote, jaza fomu moja kwa moja kwa kubofya hapa -->
http://maishaplus.tv/MamaShujaaFomu2014.html
Tunawatakia kila la Kheri.
xoxo
Missie Popular
0 comments:
Post a Comment