Tshs. Milioni Tano kushindaniwa...


Asanteni kwa wote mlioshiriki katika shindano la MPENDEKEZE ASHINDE vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni Tano.

Jopo la majaji lilikutana na kuchagua kwa umakini kabisa watano bora. Hatua ya uhakiki imeanza tutawaomba kuwapigia kura hapa hapa mtandaoni watano bora ili kumpata mshindi ambaye atakuwa Mama Shujaa wa Chakula Mtandaoni kwa mwaka 2013.

Fahamu zaidi kuhusu Grow kwa kutembelea https://www.facebook.com/GrowTanzania

Tazama video hii kufahamu sababu za Masoud Kipanya kuiunga mkono kampeni ya chakula ya GROW.

http://www.youtube.com/watch?v=jtgqLoOCAIk 

xoxo
Missie Popular