Happy Birthday Father Kidevu!!

Today fellow blogger Father Kidevu celebrates his birthday! Here is his message..

 "Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna alicho mpa. Pia anashukuru wazazi hasa mama yake, familia yake ikiongozwa na mkewe pamoja na watoto wao. "

"Ndugu zangu mbali na hao niliowataja hapo juu, lakini ninyi marafiki zangu, Wadau wangu, ndugu na jamaa wote popote pale mlipo hapa duniani ni watu muhimu sana sana, hadi kufika hapa leo ninyi mnachango wenu wa namna moja au nyingine. Sina la zaidi ya kusema Asanteni sana na Mungu awazidishie na tukazidi kuishi kwa amani na Upendo."

HAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU!! HAPPY BIRTHDAY MROKI MROKI!!


xoxo
Missie Popular

0 comments:

Post a Comment