This and That at the Celebrity Dinner with Mr President

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni  Mhe Paul Makonda alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Mhe. John Pombe Magufuli alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe January Makamba  alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Ruge Mutahaba, mratibu mkuu wa hafla  alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wasanii  alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na msanii na kiongozi wa bendi Mapacha watatu  Jose Mara alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mona Lisa mmoja wa wasanii  walioratibu hafla alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na msanii JB  alipowasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015. Kushoto kwa JB ni Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Mhe. John Pombe Magufuli
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipewa maelezo ya hafla itavyokuwa baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambako Wasani wa fani mbalimbali waliandaa hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na rasmi na  Wasanii wa fani mbalimbali katika  hafla rasmi ya kumuaga usiku wa Alhamisi Agosti 6, 2015



Visit www.issamichuzi.blogspot.com to see more pictures and stories of this night...

xoxo
Missie Popular

0 comments:

Post a Comment