Nafasi ya kazi –
Stationery
Mmoja wa wadau wakubwa wa M.P blog anakaribisha maombi kwa mtu
mwenye sifa na uzoefu wa kazi za Stationery – Secretarial Services na Internet
Café. Ofisi ipo Kinondoni Dar es Salaam, Tanzania.
Sifa / Vigezo vya mwombaji wa nafasi hii ni kama ifuatavyo:-
- · Mwombaji awe ni mzoefu wa kazi si chini ya miaka miwili.
- · Uwezo mkubwa wa kutumia Microsoft office (Ms. Word, Excel, Power Point, Publisher )
- · Ujuzi wa ku-design invitation cards.
- · Typing speed iwe nzuri.
- · Ujuzi wa kutumia scanner, photocopy, binding na paper cutter.
- · Sifa za ziada: Ujuzi wa kutumia program za Adobe illustrator and Adobe design.
Je una sifa zilizotajwa hapo juu? Then tuma CV yako kwa email: bminded3@gmail.com kabla ya tarehe 17 January 2015.
Nafasi ni moja tu wasichana wanashauriwa zaidi kutuma
maombi. Kiwango cha mshahara ni makubaliano.
Grab the opportunity NOW! Thank me,later
xoxo
Missie Popular
0 comments:
Post a Comment